



Vuta N'kuvute??
Kwa mujibu wa Google, hii ni among the best films ever made in Tanzania. Ilitoka mwaka 2021, director Amil Shivji kutoka riwaya ya Mzee Shafi Adam Shafi
Usambazaji wake umekuwa wa kimataifa sana. Ilichezwa Toronto, FESPACO, Palm Springs, Seattle, New York, Durban, Zanzibar, Carthage na Berlin. Baadhi ya watazamaji wa festival za kimataifa walipata maonyesho bure mtandaoni, kwa mfano, Cascade film festival lilifanya maonyesho 2022 bure mtandaoni. Ilishinda pia tuzo kibao, ikiwemo Tanit d'Or
Binafsi sijawai kuioona hii filamu, na nimeitafuta mnoo!! Haipo mtandaoni, haipo kwenye streaming platforms, nimeitafuta hadi piracies websites, hamna kila kitu.
Kuioona hii filamu mpaka uwe na DStv
Inakuaje filamu inayosimulia historia na utamaduni wetu iwe rahisi zaidi kuonekana kwenye film festivals nje ya nchi kuliko kwa Mtanzania wa kawaida? tunaweza kweli kusema hiyo ni success ya Tanzanian cinema?
Tatizo hapa ni filmmakers, distributors, streaming platforms, au sisi Watanzania hatuna market kubwa ya aina hii ya filamu?