▲ 12 r/SharpBoys+1 crossposts

Fake Job

Nilikuwa nimehype juu nimepata online job. Waliniambia nilipie "activation fee." Nikalipa nikiexpect kuanza kazi. After hapo, blue ticks zikaisha, account ika-disappear. Nilikaa tu nikiangalia screen nikijiuliza nimefanya nini. Alinipeleka bafu akaniosha anyway later on tulipelekana telegram ananikomoa 800 yote

u/urbaon — 6 days ago
▲ 93 r/254sum

Mshale imepenya I can now focus 😭

Next step????

u/urbaon — 6 days ago